Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na wana wa Israeli, kwamba wanichukulie mchango: Kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea ninyi mtauchukua mchango wangu.+

  • Kutoka 35:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha wakaja, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma,+ nao wakaleta, kila mtu ambaye roho yake ilimchochea, mchango wa Yehova kwa ajili ya kazi ya hema la mkutano na kwa ajili ya utumishi wake wote na kwa ajili ya yale mavazi matakatifu.

  • Nehemia 10:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Walawi wanapaswa kuleta mchango+ wa nafaka, divai mpya+ na mafuta katika majumba ya kulia chakula, na humo ndimo mna vyombo vya patakatifu na makuhani waliokuwa wakihudumu,+ na watunza-malango+ na waimbaji;+ nasi hatupaswi kuipuuza nyumba ya Mungu wetu.+

  • 2 Wakorintho 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Katika kila kitu mnatajirishwa kwa ajili ya kila namna ya ukarimu, ambao hutokeza kupitia sisi wonyesho wa shukrani kwa Mungu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki