21 Kisha wakaja, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma,+ nao wakaleta, kila mtu ambaye roho yake ilimchochea, mchango wa Yehova kwa ajili ya kazi ya hema la mkutano na kwa ajili ya utumishi wake wote na kwa ajili ya yale mavazi matakatifu.
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Walawi wanapaswa kuleta mchango+ wa nafaka, divai mpya+ na mafuta katika majumba ya kulia chakula, na humo ndimo mna vyombo vya patakatifu na makuhani waliokuwa wakihudumu,+ na watunza-malango+ na waimbaji;+ nasi hatupaswi kuipuuza nyumba ya Mungu wetu.+