11 Sasa Nathani+ akamwambia Bath-sheba,+ mama ya Sulemani:+ “Je, hujasikia kwamba Adoniya mwana wa Hagithi+ amekuwa mfalme, na bwana wetu Daudi hajui habari hizo hata kidogo?
24 Na sasa, kama Yehova anavyoishi+ ambaye amenifanya imara+ na kuendelea kuniketisha juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu+ na ambaye alinifanyia nyumba+ kama vile ambavyo amesema,+ leo Adoniya atauawa.”+