26 Huyu Shelomothi na ndugu zake walikuwa juu ya hazina zote za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu,+ ambavyo Daudi+ mfalme na walio vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ na wakuu wa maelfu na wa mamia, na wakuu wa jeshi walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu.