42 Malkia wa kusini+ atasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki naye atakihukumu kuwa chenye hatia; kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia kuisikia hekima ya Sulemani, lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Sulemani yuko hapa.+
38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, na watu watawapa ninyi.+ Watawamwagia katika mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa pamoja na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi pia.”+
31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.