Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+ Zaburi 119:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Wenye kimbelembele wamenipaka uwongo.+Bali mimi, nitayashika maagizo yako kwa moyo wangu wote.+ Ufunuo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+
10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+