Ayubu 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa upande mwingine, ninyi ni watu wa kupaka uwongo;+Ninyi nyote ni matabibu wasio na faida.+ Zaburi 86:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ee Mungu, wenye kimbelembele wamesimama juu yangu;+Nalo kusanyiko la wenye kuonea wameitafuta nafsi yangu,+Nao hawajakuweka mbele yao.+ Zaburi 109:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+ Zaburi 119:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Wenye kimbelembele wamenidharau kupindukia.+Sijageuka kando kutoka kwenye sheria yako.+
14 Ee Mungu, wenye kimbelembele wamesimama juu yangu;+Nalo kusanyiko la wenye kuonea wameitafuta nafsi yangu,+Nao hawajakuweka mbele yao.+
2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+