Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vyombo vyote vya dhahabu na vya fedha vilikuwa 5,400. Sheshbazari+ alileta kila kitu pamoja na wale waliohamishwa+ ambao walitoka Babiloni kwenda Yerusalemu.

  • Ezra 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na pia vyombo vya dhahabu na fedha+ vya nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadneza alivichukua kutoka katika hekalu, lililokuwa Yerusalemu, na kuvileta katika hekalu la Babiloni,+ Mfalme+ Koreshi alivitoa katika hekalu la Babiloni, vikapewa mtu anayeitwa Sheshbazari,+ aliyemfanya kuwa gavana.+

  • Danieli 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya muda Yehova akamtia Yehoyakimu mfalme wa Yuda+ mkononi mwake, pamoja na sehemu ya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli, naye akavileta katika nchi ya Shinari+ nyumbani kwa mungu wake; akaleta vyombo hivyo kwenye nyumba ya hazina ya mungu wake.+

  • Danieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Akiwa amechochewa na divai,+ Belshaza akasema viletwe vyombo vya dhahabu na fedha+ ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekalu lililokuwa Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, masuria wake na wake zake wadogo wavinywee.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki