Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini wao watakuwa watumishi wake,+ ili wajue tofauti kati ya utumishi+ wangu na utumishi kwa falme za nchi.”+

  • Ezra 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana sisi ni watumishi;+ na katika utumishi wetu Mungu hakutuacha,+ bali hutupa sisi fadhili zenye upendo mbele ya wafalme wa Uajemi,+ kutuamsha ili tuisimamishe nyumba ya Mungu+ wetu na kurudisha mahali pake palipofanywa ukiwa+ na kutupa sisi ukuta wa mawe+ katika Yuda na katika Yerusalemu.

  • Yeremia 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na itakuwa kwamba mtasema, ‘Kwa sababu gani Yehova Mungu wetu ametutendea mambo haya yote?’+ Nawe utawaambia, ‘Kama mlivyoniacha mimi, kwenda kumtumikia mungu wa kigeni katika nchi yenu, ndivyo mtakavyowatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki