Methali 14:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+ Methali 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+ Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+
35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+
15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima,+ nayo nia yake njema ni kama wingu la majira ya mvua ya masika.+
12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+