1 Samweli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ Zaburi 94:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+Wala hatauacha urithi wake mwenyewe.+ Mika 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkono wako utainuliwa juu ya wapinzani wako,+ na adui zako wote watakatiliwa mbali.”+
22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+