Methali 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+ Methali 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, wale wanaotunga madhara hawatatanga-tanga?+ Lakini kuna fadhili zenye upendo na ukweli kwa wale wanaotunga mema.+ Methali 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+ Methali 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+ Danieli 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Mungu wa kweli akampa Danieli fadhili zenye upendo na rehema mbele ya yule ofisa mkuu wa makao ya mfalme.+
17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+
22 Je, wale wanaotunga madhara hawatatanga-tanga?+ Lakini kuna fadhili zenye upendo na ukweli kwa wale wanaotunga mema.+
22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+
9 Basi Mungu wa kweli akampa Danieli fadhili zenye upendo na rehema mbele ya yule ofisa mkuu wa makao ya mfalme.+