Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.

  • Esta 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe wakapata maandishi ya habari ambazo Mordekai alikuwa ametoa+ juu ya Bigthana na Tereshi, maofisa wawili+ wa makao ya mfalme, watunza-milango, waliokuwa wametafuta kunyoosha mkono juu ya Mfalme Ahasuero.

  • Methali 29:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Anayeshirikiana na mwizi anachukia nafsi yake mwenyewe.+ Huenda akasikia kiapo chenye laana, lakini asitoe habari yoyote.+

  • Ezekieli 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli,+ na kutoka katika kinywa changu lazima usikie neno na kuwapa onyo kutoka kwangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki