5“‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.
2 Mwishowe wakapata maandishi ya habari ambazo Mordekai alikuwa ametoa+ juu ya Bigthana na Tereshi, maofisa wawili+ wa makao ya mfalme, watunza-milango, waliokuwa wametafuta kunyoosha mkono juu ya Mfalme Ahasuero.
7 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli,+ na kutoka katika kinywa changu lazima usikie neno na kuwapa onyo kutoka kwangu.+