Zaburi 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+ Zaburi 103:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+ Zaburi 144:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, mwanadamu ni nini hata umtambue,+Mwana wa binadamu anayeweza kufa+ hata umwangalie? Waebrania 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali shahidi fulani ametoa uthibitisho mahali fulani, akisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba umweke akilini,+ au mwana wa binadamu hivi kwamba umtunze?+
4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+
15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+
6 Bali shahidi fulani ametoa uthibitisho mahali fulani, akisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba umweke akilini,+ au mwana wa binadamu hivi kwamba umtunze?+