Ayubu 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wewe utaita, na mimi mwenyewe nitakujibu.+Kwa kuwa utaitamani sana kazi ya mikono yako. Zaburi 138:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+ Isaya 64:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+
8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+
8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+