Isaya 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na binti Sayuni+ ameachwa akiwa amebaki kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kijumba cha mlinzi ndani ya shamba la matango, kama jiji lililozingirwa.+ Maombolezo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye hukitendea jeuri kibanda+ chake kama kile kilicho katika bustani.+ Ameiharibu sherehe yake.Yehova amefanya sherehe+ na sabato kusahauliwa katika Sayuni,Naye katika shutuma zake za hasira haheshimu mfalme wala kuhani.+
8 Na binti Sayuni+ ameachwa akiwa amebaki kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kijumba cha mlinzi ndani ya shamba la matango, kama jiji lililozingirwa.+
6 Naye hukitendea jeuri kibanda+ chake kama kile kilicho katika bustani.+ Ameiharibu sherehe yake.Yehova amefanya sherehe+ na sabato kusahauliwa katika Sayuni,Naye katika shutuma zake za hasira haheshimu mfalme wala kuhani.+