17 Nami nikaona kazi yote ya Mungu wa kweli,+ jinsi ambavyo wanadamu hawawezi kuvumbua kazi ambayo imefanywa chini ya jua;+ lakini hata wanadamu waendelee namna gani kufanya kazi kwa bidii kutafuta, bado hawagundui.+ Na hata wakisema kwamba wana hekima ya kutosha kuweza kujua,+ hawawezi kuvumbua.+