Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwake Yeye anayenyesha mvua juu ya uso wa dunia+

      Na kupeleka maji juu ya mashamba;+

  • Ayubu 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Anafunga maji katika mawingu yake,+

      Hivi kwamba wingu kubwa halipasuki chini yayo;

  • Ayubu 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Barafu inaletwa kwa pumzi ya Mungu+

      Na upana wa maji uko chini ya kizuizi.+

  • Methali 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye amepanda mbinguni ili apate kushuka?+ Ni nani ambaye amekusanya upepo+ katika makonzi yake mawili? Ni nani ambaye ameyafunga maji ndani ya nguo ya kujitanda?+ Ni nani ambaye amefanya miisho yote ya dunia iinuke?+ Jina lake ni nani+ nalo jina la mwana wake ni nani, ikiwa unajua?+

  • Isaya 40:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni nani ambaye amepima maji katika mkono wake,+ na kupima vipimo vya mbingu kwa shubiri+ na kuweka katika kipimio mavumbi ya dunia,+ au kupima milima kwa kipimio, na vilima katika mizani?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki