Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mara moja Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, ili aende, akimbie na kuponyoka.+

  • Zaburi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ee Yehova Mungu wangu,+ nimekukimbilia wewe.+

      Uniokoe kutoka kwa wale wote wanaonitesa na unikomboe,+

  • Zaburi 18:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+

      Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+

      Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+

  • Zaburi 71:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ee Mungu wangu, uniokoe na mkono wa mwovu,+

      Na mkono wa mtu anayetenda kwa njia isiyo ya haki na kwa ukandamizaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki