1 Samweli 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mara moja Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, ili aende, akimbie na kuponyoka.+ Zaburi 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova Mungu wangu,+ nimekukimbilia wewe.+Uniokoe kutoka kwa wale wote wanaonitesa na unikomboe,+ Zaburi 18:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+ Zaburi 71:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ee Mungu wangu, uniokoe na mkono wa mwovu,+Na mkono wa mtu anayetenda kwa njia isiyo ya haki na kwa ukandamizaji.+
7 Ee Yehova Mungu wangu,+ nimekukimbilia wewe.+Uniokoe kutoka kwa wale wote wanaonitesa na unikomboe,+ Zaburi 18:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+ Zaburi 71:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ee Mungu wangu, uniokoe na mkono wa mwovu,+Na mkono wa mtu anayetenda kwa njia isiyo ya haki na kwa ukandamizaji.+
48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+
4 Ee Mungu wangu, uniokoe na mkono wa mwovu,+Na mkono wa mtu anayetenda kwa njia isiyo ya haki na kwa ukandamizaji.+