2 Samweli 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nasi tuje juu yake katika moja ya mahali ambapo atapatikana,+ nasi tutakuja juu yake kama umande+ unavyoanguka juu ya nchi; na hakika hatabaki hata mmoja kati yake na watu wote walio pamoja naye. Zaburi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+ Zaburi 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu ya waovu ambao wamenipora.Adui za nafsi yangu wanazidi kunizingira.+ Zaburi 59:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Unikomboe kutoka kwa adui zangu, Ee Mungu wangu;+Unilinde kutoka kwa wale wanaoinuka dhidi yangu.+ Zaburi 140:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Unilinde, Ee Yehova, na mikono ya mwovu;+Unilinde na mtu mwenye matendo ya jeuri,+Wale ambao wamepanga hila ya kuzisukuma hatua zangu.+ Mathayo 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na usituingize katika jaribu,+ bali utukomboe kutokana na yule mwovu.’+
12 Nasi tuje juu yake katika moja ya mahali ambapo atapatikana,+ nasi tutakuja juu yake kama umande+ unavyoanguka juu ya nchi; na hakika hatabaki hata mmoja kati yake na watu wote walio pamoja naye.
7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+
59 Unikomboe kutoka kwa adui zangu, Ee Mungu wangu;+Unilinde kutoka kwa wale wanaoinuka dhidi yangu.+
4 Unilinde, Ee Yehova, na mikono ya mwovu;+Unilinde na mtu mwenye matendo ya jeuri,+Wale ambao wamepanga hila ya kuzisukuma hatua zangu.+