Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nasi tuje juu yake katika moja ya mahali ambapo atapatikana,+ nasi tutakuja juu yake kama umande+ unavyoanguka juu ya nchi; na hakika hatabaki hata mmoja kati yake na watu wote walio pamoja naye.

  • Zaburi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+

      Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+

      Utayavunja meno ya waovu.+

  • Zaburi 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa sababu ya waovu ambao wamenipora.

      Adui za nafsi yangu wanazidi kunizingira.+

  • Zaburi 59:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Unikomboe kutoka kwa adui zangu, Ee Mungu wangu;+

      Unilinde kutoka kwa wale wanaoinuka dhidi yangu.+

  • Zaburi 140:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Unilinde, Ee Yehova, na mikono ya mwovu;+

      Unilinde na mtu mwenye matendo ya jeuri,+

      Wale ambao wamepanga hila ya kuzisukuma hatua zangu.+

  • Mathayo 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na usituingize katika jaribu,+ bali utukomboe kutokana na yule mwovu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki