1 Samweli 17:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye Daudi akamwambia yule Mfilisti: “Unakuja kwangu ukiwa na upanga na mkuki na fumo,+ lakini mimi naja kwako nikiwa na jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+
45 Naye Daudi akamwambia yule Mfilisti: “Unakuja kwangu ukiwa na upanga na mkuki na fumo,+ lakini mimi naja kwako nikiwa na jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+