Zaburi 147:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anawatuliza wapole;+Anawashusha waovu mpaka chini.+ Methali 3:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Atawadhihaki+ wale wenye dhihaka;+ lakini atawapa wapole kibali.+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+