12 Basi nikapeleka hisia ya kuvunjika moyo mbele yenu, nayo mwishowe ikawafukuza mbele yenu+—wafalme wawili wa Waamori—haikuwa kwa upanga wenu wala kwa upinde wenu.+
22 “Nawe ukawapa falme+ na vikundi vya watu, ukawagawia fungu kwa fungu;+ hivi kwamba wakamiliki nchi ya Sihoni,+ nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.+