1 Mambo ya Nyakati 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwimbieni Yehova, enyi nyote wa dunia!+Tangazeni siku baada ya siku wokovu anaotoa!+ Zaburi 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwimbieni wimbo mpya;+Fanyeni yote mnayoweza katika kumpigia vinanda pamoja na vigelegele vya shangwe.+ Zaburi 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tena, akatia wimbo mpya katika kinywa changu,Sifa kwa Mungu wetu.+Wengi wataona hilo na kuogopa,+Nao watamtegemea Yehova.+ Zaburi 98:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+ Zaburi 149:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 149 Msifuni Yah!+Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake katika kutaniko la washikamanifu.+ Isaya 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+ sifa yake kutoka mwisho wa dunia,+ ninyi mnaoshuka kwenda baharini+ na kwa vyote vilivyomo ndani yake, ninyi visiwa na ninyi mnaokaa ndani yake.+
3 Mwimbieni wimbo mpya;+Fanyeni yote mnayoweza katika kumpigia vinanda pamoja na vigelegele vya shangwe.+
3 Tena, akatia wimbo mpya katika kinywa changu,Sifa kwa Mungu wetu.+Wengi wataona hilo na kuogopa,+Nao watamtegemea Yehova.+
98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+
10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+ sifa yake kutoka mwisho wa dunia,+ ninyi mnaoshuka kwenda baharini+ na kwa vyote vilivyomo ndani yake, ninyi visiwa na ninyi mnaokaa ndani yake.+