Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+

  • Ayubu 36:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Amefunika umeme katika mikono yake,

      Naye huweka amri juu yake dhidi ya mshambuliaji.+

  • Zaburi 77:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sauti ya mngurumo wako ilikuwa kama magurudumu ya gari;+

      Umeme umetia nuru nchi yenye kuzaa;+

      Dunia ikatetemeka na kuanza kutikisika.+

  • Zaburi 144:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Angaza kwa umeme ili upate kuwatawanya;+

      Itume mishale yako ili upate kuwavuruga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki