Amosi 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Kwa maana Yehova ameiambia hivi nyumba ya Israeli, ‘Nitafuteni mimi,+ mwendelee kuishi.+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+