10 Na hata mwanamume shujaa ambaye moyo wake ni kama moyo wa simba+ hakika atayeyuka katika udhaifu;+ kwa maana Israeli wote wanajua kwamba baba yako ni mwanamume mwenye nguvu+ na pia wale wanaume mashujaa walio pamoja naye.+
10 Utupu na uwazi, na jiji lililofanywa ukiwa!+ Na moyo unayeyuka,+ magoti yanatetemeka,+ maumivu makali yamo katika viuno vyote.+ Na nyuso zao wote zimekuwa na wasiwasi.+