Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 62:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mtegemeeni nyakati zote.+

      Mimineni moyo wenu mbele zake.+

      Mungu ni kimbilio letu.+ Sela.

  • Zaburi 64:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+

      Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+

  • Zaburi 118:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+

      Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+

  • Isaya 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+

  • Yohana 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mioyo yenu isitaabike.+ Iweni na imani katika Mungu,+ iweni na imani pia katika mimi.+

  • Matendo 27:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo changamkeni; kwa maana ninamwamini Mungu+ kwamba itakuwa kama vile ambavyo nimeambiwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki