Zaburi 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtegemeeni nyakati zote.+Mimineni moyo wenu mbele zake.+Mungu ni kimbilio letu.+ Sela. Zaburi 64:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+ Zaburi 118:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+ Isaya 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+ Yohana 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mioyo yenu isitaabike.+ Iweni na imani katika Mungu,+ iweni na imani pia katika mimi.+ Matendo 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo changamkeni; kwa maana ninamwamini Mungu+ kwamba itakuwa kama vile ambavyo nimeambiwa.
10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+
3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+