Kutoka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+