5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia.
31 Nawe usimame hapa pamoja nami, nami nitasema nawe amri zote na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo utawafundisha+ na ambayo watafanya katika nchi nitakayowapa waimiliki.’