Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia.

  • Kumbukumbu la Torati 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nawe usimame hapa pamoja nami, nami nitasema nawe amri zote na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo utawafundisha+ na ambayo watafanya katika nchi nitakayowapa waimiliki.’

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kumbukeni matendo yake ya ajabu ambayo ameyafanya,+

      Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+

  • Zaburi 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.

      Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki