Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini Mungu atamwambia mwovu:+

      “Una haki gani ya kuyataja masharti yangu,+

      Na kwamba ulichukue agano langu kinywani mwako?+

  • Zaburi 71:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+

      Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+

      Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+

  • Isaya 59:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Lakini mimi, hili ndilo agano langu pamoja nao,”+ Yehova amesema.

      “Roho yangu iliyo juu yako+ na maneno yangu ambayo nimetia kinywani mwako+—hayataondolewa kinywani mwako wala kinywani mwa uzao wako wala kinywani mwa uzao wa uzao wako,” Yehova amesema, “tangu sasa mpaka wakati usio na kipimo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki