Ayubu 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siondoki katika amri ya midomo yake.+Nimeyachukua kuwa hazina maneno ya kinywa chake+ kuliko yale niliyoamriwa. Zaburi 119:174 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 174 Nimeutamani wokovu wako, Ee Yehova,+Nami naipenda sheria yako.+ Waroma 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani,
12 Siondoki katika amri ya midomo yake.+Nimeyachukua kuwa hazina maneno ya kinywa chake+ kuliko yale niliyoamriwa.