Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+

  • 2 Samweli 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana je, sivyo ilivyo nyumba yangu kwa Mungu?+

      Kwa sababu amenipa agano+ linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,

      Likiwa limepangwa kwa utaratibu katika kila kitu na likiwa salama.+

      Kwa sababu ndilo wokovu+ wangu wote na kupendezwa kwangu kwote,

      Je, hiyo siyo sababu atalifanya likue?+

  • Zaburi 119:81
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  81 Nafsi yangu imedhoofika kwa kutamani wokovu wako;+

      Neno lako nimelingojea.+

  • Ufunuo 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki