Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia.

  • Kumbukumbu la Torati 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+

  • Kumbukumbu la Torati 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+

  • Zaburi 36:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+

      Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+

      Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+

  • Zaburi 105:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kumbukeni kazi zake za ajabu ambazo amefanya,+

      Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki