Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Methali 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kuwapa werevu wale wasio na uzoefu,+ kumpa kijana ujuzi+ na uwezo wa kufikiri.+ 2 Timotheo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+