Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye akasema: “Ikiwa utaisikiliza kwa makini sauti ya Yehova Mungu wako na kufanya lililo sawa machoni pake na kutega sikio usikie amri zake na kushika masharti yake yote,+ sitaweka juu yako yoyote ya magonjwa yale niliyoweka juu ya Wamisri;+ kwa sababu mimi ni Yehova anayekuponya.”+

  • Mambo ya Walawi 26:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Hayo ndiyo masharti na maamuzi ya hukumu+ na sheria ambazo Yehova aliweka kati yake na wana wa Israeli katika Mlima Sinai kupitia Musa.+

  • Zaburi 119:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ninaendelea kushika masharti yako.+

      Ee, usiniache kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki