Zaburi 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Urudi,+ Ee Yehova, uokoe nafsi yangu;+Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako zenye upendo.+ Zaburi 119:88 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 88 Unihifadhi hai kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Ili nipate kushika kikumbusho cha kinywa chako.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+
88 Unihifadhi hai kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Ili nipate kushika kikumbusho cha kinywa chako.+
22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+