Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uniokoe,+ Ee Yehova, kwa maana mshikamanifu amefikia mwisho;+

      Kwa maana watu waaminifu wametoweka kutoka katikati ya wana wa binadamu.

  • Mhubiri 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 ambayo nafsi yangu imetafuta kwa kuendelea, wala sijaiona. Nimemwona mwanamume mmoja kati ya elfu moja,+ lakini sijamwona mwanamke mmoja kati yao wote.+

  • Yeremia 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nendeni huku na huku katika barabara za Yerusalemu na mwone, sasa, na mjue, nanyi mjitafutie katika viwanja vyake vya watu wote ikiwa mnaweza kumpata mwanadamu,+ ikiwa kuna yeyote anayetenda haki,+ yeyote anayetafuta uaminifu,+ nami nitamsamehe.

  • Mika 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+

  • Luka 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ninawaambia ninyi, Yeye atasababisha watendewe haki upesi.+ Hata hivyo, Mwana wa binadamu atakapofika, je, kwa kweli ataipata imani duniani?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki