Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+ Methali 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kupata hazina kwa ulimi wa uwongo ni pumzi inayopeperushwa,+ kwa wale wanaotafuta kifo.+ Hosea 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mfanya-biashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;+ amependa kupunja.+
31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+