Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+

      Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+

  • Methali 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Njia kuu ya wanyoofu ni kuepuka ubaya.+ Anayeilinda njia yake anaitunza nafsi yake.+

  • Danieli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+

  • 1 Petro 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki