Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baadaye Sauli akatuma wajumbe+ kwa nyumba ya Daudi ili wailinde na kumuua asubuhi;+ lakini Mikali mke wake akamwambia Daudi, akisema: “Usipoiponya nafsi yako usiku wa leo, kesho utakuwa mtu aliyeuawa.”

  • Zaburi 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeye huketi akivizia makao;

      Kutoka mafichoni atamuua mtu asiye na hatia.+

      ע [ʽAʹyin]

      Macho yake yanamtafuta mtu mwenye taabu.+

  • Zaburi 37:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwovu anaendelea kumwangalia mwadilifu+

      Naye anatafuta kumuua.+

  • Zaburi 56:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wao wanashambulia, wanajificha,+

      Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+

      Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+

  • Methali 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+

  • Mathayo 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki