1 Samweli 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye Sauli akatuma wajumbe+ kwa nyumba ya Daudi ili wailinde na kumuua asubuhi;+ lakini Mikali mke wake akamwambia Daudi, akisema: “Usipoiponya nafsi yako usiku wa leo, kesho utakuwa mtu aliyeuawa.” Zaburi 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye huketi akivizia makao;Kutoka mafichoni atamuua mtu asiye na hatia.+ ע [ʽAʹyin]Macho yake yanamtafuta mtu mwenye taabu.+ Zaburi 37:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mwovu anaendelea kumwangalia mwadilifu+Naye anatafuta kumuua.+ Zaburi 56:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wao wanashambulia, wanajificha,+Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+ Methali 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+ Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.
11 Baadaye Sauli akatuma wajumbe+ kwa nyumba ya Daudi ili wailinde na kumuua asubuhi;+ lakini Mikali mke wake akamwambia Daudi, akisema: “Usipoiponya nafsi yako usiku wa leo, kesho utakuwa mtu aliyeuawa.”
8 Yeye huketi akivizia makao;Kutoka mafichoni atamuua mtu asiye na hatia.+ ע [ʽAʹyin]Macho yake yanamtafuta mtu mwenye taabu.+
6 Wao wanashambulia, wanajificha,+Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+
11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+