Methali 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ewe mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova;+ wala usichukie karipio lake,+ Methali 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shika nidhamu;+ usiiache.+ Ilinde, kwa maana hiyo ndiyo uzima wako.+ Waebrania 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+
7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+