Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na kujichagulia wakuu wawe juu ya watu 1,000+ na wakuu wawe juu ya watu 50,+ na baadhi yao wamlimie+ na kuvuna mavuno+ yake na kutengeneza silaha zake za vita+ na vyombo vya magari yake.+

  • 1 Wafalme 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Sulemani alikuwa na wasaidizi kumi na wawili juu ya Israeli yote, nao walimwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja alikuwa na daraka la kuandaa chakula mwezi mmoja katika mwaka.+

  • 1 Wafalme 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo Ahabu akamwambia Nabothi: “Nipe+ shamba lako la mizabibu,+ ili liwe bustani+ yangu ya mboga,+ kwa maana liko karibu na nyumba yangu; nami nitakupa mahali pake shamba la mizabibu lililo bora kuliko hilo. Au ikiwa vema machoni pako,+ nitakupa pesa kama bei yake.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tena akajenga minara+ nyikani, na kuchimba matangi mengi ya maji (kwa maana alikuwa na mifugo mingi sana), na pia katika Shefela+ na katika nchi tambarare ya juu. Palikuwa na wakulima na watunza-mizabibu katika milima na katika Karmeli, kwa maana alipenda kilimo.

  • Wimbo wa Sulemani 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Shamba langu mwenyewe la mizabibu liko chini ya mamlaka yangu. Nawe, Ee Sulemani una elfu na wale wanaotunza matunda yake wana mia mbili.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki