45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+
10 Kwa maana kama vile mvua inayonyesha hushuka, na theluji, kutoka mbinguni nayo hairudi mahali pale, mpaka kwa kweli iwe imeinywesha dunia na kuifanya izae na kuchipuka,+ na mbegu kweli iwe imepewa mpandaji na mkate kupewa anayekula,+