Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+ 1 Samweli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+
39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+
6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+