Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Acheni kuleta ndani matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.+ Uvumba—ni chukizo kwangu.+ Mwezi mpya+ na sabato,+ kuita mkusanyiko+—siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko kuu.

  • Amosi 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Je, mlinisogezea karibu dhabihu na matoleo ya zawadi nyikani miaka 40, Ee nyumba ya Israeli?+

  • Malaki 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nanyi mmesema, ‘Tazama! Jambo hili linachosha kama nini!’+ nanyi mmeitolea pumzi puani kwa dharau,” Yehova wa majeshi amesema. “Nanyi mmeleta kitu ambacho kimenyakuliwa, na chenye kilema, na kilicho kigonjwa;+ ndiyo, mmekileta kama zawadi. Je, naweza kukifurahia mkononi mwenu?”+ Yehova amesema.

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.”

      Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?”

      “Katika sehemu za kumi na katika michango.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki