Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 94:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana uamuzi wa hukumu utarudi hata kwa uadilifu,+

      Na wote walio wanyoofu moyoni wataufuata.

  • Methali 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Anayefuatilia uadilifu+ na fadhili zenye upendo atapata uzima, uadilifu na utukufu.+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

  • Mathayo 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+

  • 1 Timotheo 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki