Zaburi 94:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana uamuzi wa hukumu utarudi hata kwa uadilifu,+Na wote walio wanyoofu moyoni wataufuata. Methali 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayefuatilia uadilifu+ na fadhili zenye upendo atapata uzima, uadilifu na utukufu.+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+ Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+ 1 Timotheo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+
3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+