Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 86:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mataifa yote ambayo umeyafanya, yatakuja yenyewe,+

      Nayo yatainama mbele zako, Ee Yehova,+

      Na kulipa utukufu jina lako.+

  • Isaya 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima,+ nao utainuliwa juu ya vilima;+ na mataifa yote yatamiminika huko.+

  • Mathayo 25:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mataifa yote yatakusanyika mbele yake,+ naye atawatenganisha watu,+ mmoja kutoka kwa mwenzake,+ kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.

  • Ufunuo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! umati mkubwa,+ ambao hakuna mtu aliyeweza kuuhesabu, kutoka mataifa+ yote na makabila na vikundi vya watu+ na lugha,+ wamesimama mbele ya kiti cha ufalme+ na mbele ya Mwana-Kondoo, wamevikwa kanzu nyeupe;+ na kulikuwa na matawi ya mitende+ mikononi mwao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki