Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwezi wa saba+ ulipofika, wana wa Israeli walikuwa katika majiji yao. Na watu wakaanza kukusanyika Yerusalemu+ kama mtu mmoja.+

  • Ezra 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa kwa muda kidogo kibali+ kutoka kwa Yehova Mungu wetu kimekuja kwa kutuachia wale walioponyoka+ na kwa kutupa sisi kigingi katika mahali pake patakatifu, kufanya macho yetu yang’ae,+ Ee Mungu wetu, na kutuamsha kidogo kutoka katika utumwa wetu.+

  • Isaya 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+

  • Isaya 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+

  • Yeremia 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,” asema Yehova, “wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa wewe kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yao ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi na kuwa huru kutokana na usumbufu naye atastarehe, wala hakutakuwa na mtu yeyote anayemtetemesha.”+

  • Ezekieli 28:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na katika nyumba ya Israeli hakutakuwa tena na mchongoma hatari+ au mwiba wenye kuumiza kutoka kwa wote hao wanaowazunguka pande zote, wale wanaowatendea kwa dhihaka; na watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki