9 Hiyo ndiyo sababu nitalia kwa kilio cha Yazeri juu ya mzabibu wa Sibma.+ Nitakulowesha wewe kwa machozi yangu, Ee Heshboni+ na Eleale,+ kwa sababu kupaaza sauti kumeanguka juu ya kiangazi chako na juu ya mavuno yako.+
17 Ijapokuwa huenda mtini usichanue,+ kusiwe na mazao kwenye mizabibu; kazi ya mzeituni ikashindwa, matuta yasizae chakula chochote.+ Huenda kundi liondolewe zizini, na kusiwe na mifugo katika mazizi;+