Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono+ ya Isaya+ mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+

  • Isaya 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tangazo juu ya Babiloni+ ambalo Isaya mwana wa Amozi+ aliona katika maono:

  • Isaya 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana ni siku ya kuvurugika+ na ya kukanyagiwa+ chini na ya kufadhaisha+ ambayo Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, anayo katika bonde la maono. Kuna mbomoaji wa ukuta,+ na kilio kitaenda kwenye mlima.+

  • Yeremia 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi: “Kateni miti+ na mjenge boma la kuzingira+ Yerusalemu. Yeye ni jiji ambalo lazima litozwe hesabu.+ Yeye ni ukandamizaji mtupu katikati yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki